Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 45:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Akaagana na ndugu zake, wakaenda zao; naye akawaambia, Msigombane njiani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Basi, Yosefu akaagana na ndugu zake. Walipokuwa wanaondoka aliwaonya akisema, “Msigombane njiani!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Basi, Yosefu akaagana na ndugu zake. Walipokuwa wanaondoka aliwaonya akisema, “Msigombane njiani!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Basi, Yosefu akaagana na ndugu zake. Walipokuwa wanaondoka aliwaonya akisema, “Msigombane njiani!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”

Tazama sura Nakili




Mwanzo 45:24
10 Marejeleo ya Msalaba  

Reubeni akawaambia, Msimwage damu; mtupeni katika shimo hili lililopo nyikani, wala msimguse; ili apate kumwokoa katika mikono yao, akamrudishe kwa baba yake.


Na baba yake akampelekea vifuatavyo: punda kumi waliochukua mema ya Misri, na punda majike kumi waliochukua nafaka, na mikate, na chakula cha njiani kwa babaye.


Wakatoka Misri, wakafika nchi ya Kanaani kwa Yakobo, baba yao.


mkawastahi sana katika upendo, kwa ajili ya kazi zao. Iweni na amani ninyi kwa ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo