Mwanzo 44:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 itakuwa atakapoona ya kwamba huyu kijana hayuko, atakufa; na watumwa wako watashusha mvi za mtumwa wako, baba yetu, kwa huzuni kaburini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 akiona kwamba kijana hayupo pamoja nasi, atakufa! Hivyo sisi watumishi wako, tutamuua baba yetu kwa huzuni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 akiona kwamba kijana hayupo pamoja nasi, atakufa! Hivyo sisi watumishi wako, tutamuua baba yetu kwa huzuni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 akiona kwamba kijana hayupo pamoja nasi, atakufa! Hivyo sisi watumishi wako, tutamuua baba yetu kwa huzuni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni. Tazama sura |