Mwanzo 44:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 mmoja alitoka kwangu, nikasema, Bila shaka ameraruliwa, wala sikumwona tangu hapo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Mmoja alitoweka, nami nikasema, bila shaka ameraruliwa vipandevipande na mnyama wa porini, maana sijapata kumwona tena. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Mmoja alitoweka, nami nikasema, bila shaka ameraruliwa vipandevipande na mnyama wa porini, maana sijapata kumwona tena. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 mmoja alitoweka, nami nikasema, bila shaka ameraruliwa vipandevipande na mnyama wa porini, maana sijapata kumwona tena. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Mmoja alipotea, nami nikasema, “Hakika ameraruliwa vipande vipande.” Nami sijamwona tangu wakati huo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Mmojawapo alipotea, nami nikasema, “Hakika ameraruliwa vipande vipande.” Nami sijamwona tangu wakati huo. Tazama sura |