Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 44:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Tukakuambia, bwana wangu, Kijana hawezi kumwacha babaye, maana akimwacha babaye, babaye atakufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Tukakueleza kwamba huyo kijana hawezi kuachana na baba yake, kwa sababu akifanya hivyo baba yake atakufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Tukakueleza kwamba huyo kijana hawezi kuachana na baba yake, kwa sababu akifanya hivyo baba yake atakufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Tukakueleza kwamba huyo kijana hawezi kuachana na baba yake, kwa sababu akifanya hivyo baba yake atakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Nasi tukamwambia bwana wangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake; akimwacha, baba yake atakufa.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Nasi tukamwambia bwana wangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake; akimwacha, baba yake atakufa.’

Tazama sura Nakili




Mwanzo 44:22
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Mwanangu hatashuka pamoja nanyi, maana nduguye amekufa, naye amesalia peke yake; mabaya yakimpata katika njia mtakayoiendea ndipo mtakaposhusha mvi zangu kwa sikitiko mpaka kaburini.


Ukatuambia watumwa wako, Mleteni kwangu, ili macho yangu yamwangalie.


Ukatuambia watumwa wako, Asiposhuka ndugu yenu mdogo pamoja nanyi, hamtaniona uso wangu tena


Basi, nikienda kwa mtumwa wako, baba yangu, na huyu kijana hayupo pamoja nasi, iwapo roho yake imeshikamana na roho ya kijana;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo