Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 43:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Wakamwambia, Tazama, bwana, kweli tulishuka mara ya kwanza ili tununue chakula.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 wakamwambia, “Samahani, bwana! Sisi tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 wakamwambia, “Samahani, bwana! Sisi tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 wakamwambia, “Samahani, bwana! Sisi tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wakasema, “Tafadhali bwana, tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wakasema, “Tafadhali bwana, tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 43:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamwambia, Hasha, bwana, watumwa wako tumekuja ili tununue chakula.


Mmoja wao alipofungua gunia lake ili ampe punda wake chakula katika nyumba ya wageni, aliiona fedha yake; kumbe! Iko kinywani mwa gunia lake.


Basi ndugu kumi wa Yusufu wakashuka Misri ili wanunue nafaka.


Ikawa walipomimina magunia yao, kumbe! Bahasha ya fedha ya kila mtu imo katika gunia lake. Nao walipoziona bahasha za fedha zao, wao na baba yao waliogopa.


Wakamkaribia yule msimamizi wa nyumba ya Yusufu, wakasema naye mlangoni pa nyumba.


Ikawa, tulipofika nyumba ya wageni, tukafungua magunia yetu, kumbe! Fedha za kila mtu zilikuwako kinywani mwa gunia lake, fedha zetu kwa uzani wake kamili; nasi tumezileta tena mikononi mwetu.


Yuda akamwambia akisema, Yule mtu alituagizia sana akisema, Hamtaniona uso wangu, ndugu yenu asipokuwa pamoja nanyi.


Wakasema, Mtu yule alituhoji sana habari zetu na za jamaa yetu, akisema, Baba yenu angali hai? Mnaye ndugu mwingine? Nasi tukamjibu sawasawa na maswali hayo. Je! Tungaliwezaje kujua ya kwamba atasema, Shukeni pamoja na ndugu yenu?


Na mwanamke mmoja akasema, Ee bwana wangu, mimi na mwanamke huyu tunakaa katika nyumba moja; nami nilizaa nilipokuwa pamoja naye nyumbani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo