Mwanzo 42:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Mtu yule aliye bwana wa nchi alisema nasi kwa maneno makali, akatufanya tu wapelelezi wa nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 “Mkuu wa nchi ile alisema nasi kwa ukali, na kutushuku kwamba sisi ni wapelelezi nchini mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 “Mkuu wa nchi ile alisema nasi kwa ukali, na kutushuku kwamba sisi ni wapelelezi nchini mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 “Mkuu wa nchi ile alisema nasi kwa ukali, na kutushuku kwamba sisi ni wapelelezi nchini mwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 “Huyo mtu aliye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwa ukali, akatutendea kana kwamba sisi tulikuwa tunaipeleleza nchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 “Huyo mtu ambaye ndiye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwa ukali, akatutendea kana kwamba sisi tulikuwa tunaipeleleza nchi. Tazama sura |