Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 42:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Akawatia wote gerezani siku tatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kisha akawatia wote gerezani kwa muda wa siku tatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kisha akawatia wote gerezani kwa muda wa siku tatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kisha akawatia wote gerezani kwa muda wa siku tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Akawaweka wote chini ya ulinzi kwa siku tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Akawaweka wote chini ya ulinzi kwa siku tatu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 42:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mkuu wa askari akamwekea Yusufu watu hao, naye akawahudumia, nao wakakaa siku kadhaa katika kifungo.


Akawauliza hao maofisa wa Farao, waliokuwa pamoja naye katika kifungo, nyumbani mwa bwana wake, akisema, Mbona nyuso zenu zimekunjamana leo?


Farao aliwakasirikia watumishi wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari walinzi, mimi na mkuu wa waokaji.


Umemtendea mtumishi wako mema, Ee BWANA, sawasawa na neno lako.


nao watakusanywa pamoja kama vile wakusanywavyo wafungwa katika shimo nao watafungwa katika gereza; na baada ya muda wa siku nyingi wataadhibiwa.


Nao wakamtia kifungoni, ili wapate kuambiwa neno litakalotoka kinywani pa BWANA.


Wakawakamata, wakawaweka gerezani hadi asubuhi; kwa kuwa imekwisha kuwa jioni.


wakawakamata mitume wakawaweka ndani ya gereza;


Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali yeye kwa faida yetu, ili tuushiriki utakatifu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo