Mwanzo 41:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC38 Farao akawaambia watumishi wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye Roho ya Mungu ndani yake? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Kwa hiyo Farao akawauliza watumishi wake, “Huyu mtu ana roho ya Mungu! Je, tunaweza kumpata mtu mwingine kama huyu?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Kwa hiyo Farao akawauliza watumishi wake, “Huyu mtu ana roho ya Mungu! Je, tunaweza kumpata mtu mwingine kama huyu?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Kwa hiyo Farao akawauliza watumishi wake, “Huyu mtu ana roho ya Mungu! Je, tunaweza kumpata mtu mwingine kama huyu?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Hivyo Farao akawauliza, “Je, tunaweza kumpata yeyote kama mtu huyu, aliye na Roho wa Mungu ndani yake?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Hivyo Farao akawauliza, “Je tunaweza kumpata yeyote kama mtu huyu, ambaye Roho wa Mwenyezi Mungu yumo ndani yake?” Tazama sura |