Mwanzo 39:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Bwana wake akaona ya kwamba BWANA yu pamoja naye, na ya kuwa BWANA anafanikisha mambo yote mkononi mwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Huyo bwana wake akatambua kwamba Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na Yosefu, na kwamba ndiye aliyeyafanikisha mambo yote aliyofanya Yosefu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Huyo bwana wake akatambua kwamba Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na Yosefu, na kwamba ndiye aliyeyafanikisha mambo yote aliyofanya Yosefu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Huyo bwana wake akatambua kwamba Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na Yosefu, na kwamba ndiye aliyeyafanikisha mambo yote aliyofanya Yosefu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Potifa alipoona kuwa Mwenyezi Mungu alikuwa pamoja na Yusufu, na kwamba Mwenyezi Mungu alimfanikisha kwa kila kitu alichokifanya, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Potifa alipoona kuwa bwana alikuwa pamoja na Yusufu na kwamba bwana alimfanikisha kwa kila kitu alichokifanya, Tazama sura |