Mwanzo 39:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali wafungwa wa mfalme walimokuwa wamefungiwa, naye akawa humo gerezani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Potifa akamchukua Yusufu na kumtia gerezani, mahali wahalifu wa mfalme walipokuwa wamefungwa. Lakini Yusufu alipokuwa huko gerezani, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Potifa akamchukua Yusufu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa. Lakini wakati Yusufu alipokuwa huko gerezani, Tazama sura |