Mwanzo 38:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Ikawa baada ya miezi mitatu Yuda akapewa habari kwamba, Mke wa mwana wako, Tamari, amefanya uzinifu, naye ana mimba ya haramu. Yuda akasema, Mtoeni ateketezwe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Baada ya miezi mitatu, Yuda akapata habari, “Tamari, mke wa mwanao amekuwa kahaba, tena amepata mimba kwa kufanya ukahaba.” Basi, Yuda akaamuru, “Mtoeni nje achomwe moto!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Baada ya miezi mitatu, Yuda akapata habari, “Tamari, mke wa mwanao amekuwa kahaba, tena amepata mimba kwa kufanya ukahaba.” Basi, Yuda akaamuru, “Mtoeni nje achomwe moto!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Baada ya miezi mitatu, Yuda akapata habari, “Tamari, mke wa mwanao amekuwa kahaba, tena amepata mimba kwa kufanya ukahaba.” Basi, Yuda akaamuru, “Mtoeni nje achomwe moto!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Baada ya miezi mitatu, Yuda akaambiwa, “Tamari mkweo ana hatia ya kuwa kahaba, na sasa ana mimba.” Yuda akasema, “Mtoeni nje, achomwe moto hadi afe!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Baada ya miezi mitatu Yuda akaambiwa, “Tamari mkweo ana hatia ya kuwa kahaba, na matokeo yake ana mimba.” Yuda akasema, “Mtoeni nje na achomwe moto hadi afe!” Tazama sura |