Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 37:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Akarudi kwa ndugu zake, akasema, Mtoto hayuko, nami niende wapi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 akawaendea ndugu zake, akawaambia, “Kijana hayupo nami niende wapi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 akawaendea ndugu zake, akawaambia, “Kijana hayupo nami niende wapi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 akawaendea ndugu zake, akawaambia, “Kijana hayupo nami niende wapi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Akawarudia ndugu zake na kusema, “Kijana hayuko mle! Nielekee wapi sasa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Akawarudia ndugu zake na kusema, “Kijana hayuko mle! Nielekee wapi sasa?”

Tazama sura Nakili




Mwanzo 37:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Haya, twende, tukamwue na kumtupa katika shimo mojawapo, nasi tutasema, Mnyama mkali amemla; kisha tutaona zitakuwaje ndoto zake.


Wakamwambia, Sisi watumwa wako tu ndugu kumi na wawili, wana wa mtu mmoja katika nchi ya Kanaani; na mdogo wetu yuko pamoja na baba yetu leo, na mmoja hayuko.


Sisi tu ndugu kumi na wawili, wana wa baba yetu. Mmoja hayuko, na mdogo wetu yuko pamoja na baba yetu leo katika nchi ya Kanaani.


BWANA asema hivi, Sauti imesikiwa Rama, kilio, na maombolezo mengi, Raheli akiwalilia watoto wake; asikubali kufarijiwa kwa watoto wake, kwa kuwa hawako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo