Mwanzo 37:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Yuda akawaambia ndugu zake, Kwafaa nini kumwua ndugu yetu, na kuificha damu yake? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Hapo Yuda akawaambia ndugu zake, “Tutapata faida gani tukimuua ndugu yetu na kuficha mauaji yake? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Hapo Yuda akawaambia ndugu zake, “Tutapata faida gani tukimuua ndugu yetu na kuficha mauaji yake? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Hapo Yuda akawaambia ndugu zake, “Tutapata faida gani tukimuua ndugu yetu na kuficha mauaji yake? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Yuda akawaambia ndugu zake, “Tutafaidi nini tukimuua ndugu yetu na kuificha damu yake? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Yuda akawaambia ndugu zake, “Tutafaidi nini ikiwa tutamuua ndugu yetu na kuificha damu yake? Tazama sura |