Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 37:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akawa analifikiria jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akawa analifikiria jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akawa analifikiria jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akaliweka jambo hilo moyoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akaliweka jambo hilo moyoni.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 37:11
20 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Karibu, wewe uliyebarikiwa na BWANA, mbona unasimama nje? Kwa maana nimeiweka nyumba tayari, na nafasi kwa ngamia.


Ndugu zake wakaenda kuchunga kondoo za baba yao huko Shekemu.


Yusufu akazikumbuka zile ndoto alizowaotea. Akawaambia, Wapelelezi ninyi, mmekuja ili mwuone utupu wa nchi.


Wakamhusudu Musa kambini, Na Haruni, mtakatifu wa BWANA.


Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Na wivu wa Efraimu utaondoka, na wale wanaomwudhi Yuda watakatiliwa mbali; Efraimu hatamhusudu Yuda, wala Yuda hatamwudhi Efraimu.


BWANA, mkono wako umeinuliwa, lakini hawaoni; lakini watauona wivu wako kwa ajili ya watu wako, nao watatahayari; naam, moto utawala adui zako.


Huu ndio mwisho wa jambo lile. Nami, Danieli, fikira zangu zilinifadhaisha, na uso wangu ulinibadilika; lakini nililiweka jambo hilo moyoni mwangu.


Kwa maana alijua ya kuwa wamemtoa kwa ajili ya husuda.


Kwa maana alitambua ya kuwa wakuu wa makuhani wamemtoa kwa husuda.


Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake.


Akashuka pamoja nao mpaka Nazareti, naye alikuwa akiwatii; na mamaye aliyaweka hayo yote moyoni mwake.


Bali Wayahudi, walipowaona makutano, wakajaa wivu, wakayakanusha maneno yaliyonenwa na Paulo, wakibisha na kutukana.


Wale wazee wetu wakimwonea wivu Yusufu, wakamwuza aende Misri. Mungu akawa pamoja naye,


husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.


Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, tulikuwa waasi, tumedanganywa, huku tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukiishi katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.


Au mwadhani ya kwamba Maandiko yasema bure? Huyo Roho akaaye ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?


Basi Sauli akaghadhibika sana, na maneno haya yakamchukiza; akasema, Wamempa Daudi makumi elfu, na mimi wamenipa elfu tu; kuna nini tena awezayo kupata, isipokuwa ni ufalme?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo