Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 36:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Hivi ni vizazi vya Esau, baba ya Edomu katika mlima Seiri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wafuatao ni wazawa wa Esau, baba ya Waedomu katika nchi ya milima ya Seiri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wafuatao ni wazawa wa Esau, baba ya Waedomu katika nchi ya milima ya Seiri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wafuatao ni wazawa wa Esau, baba ya Waedomu katika nchi ya milima ya Seiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Hivi ndivyo vizazi vya Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya vilima ya Seiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yule mkubwa akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu; huyo ndiye baba wa Wamoabi, hata leo.


Basi, Yakobo akapeleka wajumbe mbele yake kwenda kwa Esau nduguye mpaka nchi ya Seiri katika nyika ya Edomu.


Akawaagiza akisema, Mwambieni hivi bwana wangu, Esau, Hivi ndivyo asemavyo mtumwa wako, Yakobo; Nimekaa ugenini kwa Labani, na kukawia huko hata sasa,


Haya ndiyo majina ya wana wa Esau; Elifazi, mwana wa Ada mkewe Esau. Reueli, mwana wa Basemathi, mkewe Esau.


jumbe Magdieli, jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu, kulingana na makao yao, katika nchi ya mamlaka yao. Naye huyo ndiye Esau, baba ya Edomu.


Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.


Na baadhi yao, wana wa Simeoni wapatao watu mia tano, wakaenda mpaka mlima Seiri, na majemadari wao walikuwa Pelatia, na Nearia, na Refaya, na Uzieli, wana wa Ishi.


Maono yake Obadia. Ndivyo asemavyo Bwana MUNGU juu ya Edomu; Tumepata habari kwa BWANA, Na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, Akisema, Haya, inukeni ninyi; Na tuinuke tupigane naye.


msipigane nao; kwa kuwa sitawapa sehemu ya nchi yao kamwe, hata kiasi cha kukanyaga wayo wa mguu; kwa kuwa nimempa Esau milima ya Seiri kuwa milki yake.


Kisha nikampa huyo Isaka, Yakobo na Esau; nami nikampa Esau mlima Seiri aumiliki; Yakobo na watoto wake wakashuka Misri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo