Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 36:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

37 Akafa Samla, na Shauli wa Rehobothi, ulio karibu na mto, akamiliki badala yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi, ulio karibu na mto Eufrate, alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi, ulio karibu na mto Eufrate, alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi, ulio karibu na mto Eufrate, alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ng’ambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ng’ambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:37
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka katika nchi ile akaenda mpaka Ashuru, akajenga Ninawi, na Rehoboth-iri, na Kala;


Akafa Hadadi, akamiliki Samla wa Masreka badala yake.


Akafa Shauli, akamiliki Baal-hanani, mwana wa Akbori, badala yake.


Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akatawala badala yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo