Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 36:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

35 Akafa Hushamu, akamiliki Hadadi wa Bedadi badala yake, naye ndiye aliyepiga Midiani katika nyika ya Moabu, na jina la mji wake ni Avithi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi alitawala badala yake, makao yake makuu yakiwa katika mji wa Avithi. Huyu ndiye aliyewapiga na kuwashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi alitawala badala yake, makao yake makuu yakiwa katika mji wa Avithi. Huyu ndiye aliyewapiga na kuwashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi alitawala badala yake, makao yake makuu yakiwa katika mji wa Avithi. Huyu ndiye aliyewapiga na kuwashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:35
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akamzalia Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Sua.


Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.


Akafa Hadadi, akamiliki Samla wa Masreka badala yake.


Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akatawala badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo