Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 36:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Bela wa Beori alimiliki katika Edomu, na jina la mji wake ni Dinhaba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Bela mwana wa Beori alitawala nchi ya Edomu akiwa na makao yake makuu katika mji wa Dinhaba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Bela mwana wa Beori alitawala nchi ya Edomu akiwa na makao yake makuu katika mji wa Dinhaba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Bela mwana wa Beori alitawala nchi ya Edomu akiwa na makao yake makuu katika mji wa Dinhaba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:32
2 Marejeleo ya Msalaba  

Akafa Bela, akamiliki Yobabu mwana wa Zera, wa Bosra, badala yake.


Basi hawa ndio wafalme waliotawala katika nchi ya Edomu, kabla hajatawala mfalme yeyote juu ya wana wa Israeli; Bela, mwana wa Beori; na jina la mji wake ni Dinhaba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo