Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 36:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Hawa ndio majumbe waliotoka katika Wahori; jumbe Lotani, jumbe Shobali, jumbe Sibeoni, jumbe Ana,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Basi, hao ndio wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Basi, hao ndio wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Basi, hao ndio wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Hawa walikuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:29
6 Marejeleo ya Msalaba  

Esau alitwaa binti za Kanaani, kuwa wakeze; Ada, binti Eloni, Mhiti, na Oholibama, binti Ana, binti Sibeoni, Mhivi;


Hawa ni wana wa Seiri, Mhori, wenyeji wa nchi ile; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana,


Na hawa ni wana wa Dishani, Usi, na Arani.


jumbe Dishoni, jumbe Eseri jumbe Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, kwa habari za majumbe yao, katika nchi ya Seiri.


Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo