Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 36:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Na hawa ni wana wa Dishani, Usi, na Arani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Watoto wa kiume wa Dishani walikuwa Usi na Arani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Watoto wa kiume wa Dishani walikuwa Usi na Arani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Watoto wa kiume wa Dishani walikuwa Usi na Arani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na hawa ni wana wa Eseri, Bilhani, na Zaawani, na Akani.


Hawa ndio majumbe waliotoka katika Wahori; jumbe Lotani, jumbe Shobali, jumbe Sibeoni, jumbe Ana,


Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi, jina lake alikuwa akiitwa Ayubu; mtu huyo alikuwa mkamilifu na mwelekevu, ni mmoja aliyemcha Mungu, na kuepukana na uovu.


na watu wote waliochanganyika pamoja, na wafalme wote wa nchi ya Uzi, na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti, na Ashkeloni, na Gaza, na Ekroni, na mabaki ya Ashdodi;


Furahi, ushangilie, Ee binti Edomu, Ukaaye katika nchi ya Usi; Hata kwako kikombe kitapita, Utalewa, na kujifanya uchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo