Mwanzo 36:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Na Timna alikuwa suria wa Elifazi, mwana wa Esau; naye akamzalia Elifazi Amaleki. Hao ndio wana wa Ada, mkewe Esau. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Elifazi alikuwa na suria jina lake Timna. Huyu alimzalia mwana, jina lake Amaleki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Elifazi alikuwa na suria jina lake Timna. Huyu alimzalia mwana, jina lake Amaleki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Elifazi alikuwa na suria jina lake Timna. Huyu alimzalia mwana, jina lake Amaleki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, aliyemzalia Amaleki. Hao walikuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau. Tazama sura |