Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 36:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Na wana wa Elifazi, ni Temani na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Watoto wa kiume wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Watoto wa kiume wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Watoto wa kiume wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wana wa Elifazi ni: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Haya ndiyo majina ya wana wa Esau; Elifazi, mwana wa Ada mkewe Esau. Reueli, mwana wa Basemathi, mkewe Esau.


Na Timna alikuwa suria wa Elifazi, mwana wa Esau; naye akamzalia Elifazi Amaleki. Hao ndio wana wa Ada, mkewe Esau.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Kuhusu Edomu. BWANA wa majeshi asema hivi, Je! Hakuna tena hekima katika Temani? Mashauri yamewapotea wenye busara? Je! Imetoweka hekima yao?


Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo