Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 35:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Kisha akasafiri Israeli akapiga hema yake upande wa pili wa mnara wa Ederi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Israeli akaendelea na safari yake na kupiga kambi yake baada ya kuupita mnara wa Ederi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Israeli akaendelea na safari yake na kupiga kambi yake baada ya kuupita mnara wa Ederi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Israeli akaendelea na safari yake na kupiga kambi yake baada ya kuupita mnara wa Ederi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Israeli akaendelea tena na safari yake na kupiga hema baada ya kupita Mnara wa Ederi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Israeli akaendelea tena na safari yake na kupiga hema mbele mnara wa Ederi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 35:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wewe, Ee mnara wa kundi, kilima cha binti Sayuni, utajiliwa; naam, mamlaka ya kwanza yatakuja, ufalme wa binti Yerusalemu.


Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku.


Miji ya mwisho ya kabila la wana wa Yuda upande wa kuelekea mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, Ederi, Yaguri;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo