Mwanzo 35:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Ikawa hapo katika kutoa roho yake, maana alikufa, akamwita jina lake Benoni, lakini babaye alimwita Benyamini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Raheli huku akikata roho, akampa huyo mtoto jina Ben-oni. Lakini baba yake akamwita mtoto huyo Benyamini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Raheli huku akikata roho, akampa huyo mtoto jina Ben-oni. Lakini baba yake akamwita mtoto huyo Benyamini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Raheli huku akikata roho, akampa huyo mtoto jina Ben-oni. Lakini baba yake akamwita mtoto huyo Benyamini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Hapo alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana alikuwa akifa, akamwita mwanawe jina Benoni. Lakini babaye akamwita jina Benyamini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Hapo alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana alikuwa akifa, akamwita mwanawe Benoni. Lakini babaye akamwita Benyamini. Tazama sura |