Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 35:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Yakobo akapaita mahali pale, Mungu aliposema naye, Betheli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, Yakobo akapaita mahali hapo alipozungumza na Mungu Betheli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, Yakobo akapaita mahali hapo alipozungumza na Mungu Betheli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, Yakobo akapaita mahali hapo alipozungumza na Mungu Betheli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Yakobo akapaita mahali pale Mungu alipozungumza naye Betheli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Yakobo akapaita mahali pale Mungu alipozungumza naye Betheli.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 35:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.


Mungu akamwambia Yakobo, Ondoka, panda uende Betheli, ukakae huko; ukamfanyie Mungu madhabahu huko; yeye aliyekutokea ulipomkimbia Esau, ndugu yako.


Wakasafiri kutoka Betheli, na kabla ya kufika Efrata, Raheli akashikwa na uchungu wa kuzaa, na uchungu wake ulikuwa mkali.


Akajenga huko madhabahu, akapaita mahali pale, El-Betheli; kwa sababu huko Mungu alimtokea, hapo alipomkimbia ndugu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo