Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 35:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Yakobo akasimamisha nguzo mahali aliposema naye, nguzo ya mawe, akamimina juu yake sadaka ya kinywaji, akamimina mafuta juu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Yakobo akasimika nguzo ya jiwe la ukumbusho mahali hapo Mungu alipozungumza naye, akaiweka wakfu kwa kuimiminia tambiko ya kinywaji na mafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Yakobo akasimika nguzo ya jiwe la ukumbusho mahali hapo Mungu alipozungumza naye, akaiweka wakfu kwa kuimiminia tambiko ya kinywaji na mafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Yakobo akasimika nguzo ya jiwe la ukumbusho mahali hapo Mungu alipozungumza naye, akaiweka wakfu kwa kuimiminia tambiko ya kinywaji na mafuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Yakobo akasimamisha nguzo ya jiwe mahali pale Mungu alipozungumza naye, akamimina sadaka ya kinywaji juu yake, pia akamimina mafuta juu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Yakobo akasimamisha nguzo ya jiwe mahali pale Mungu alipozungumza naye, akamimina sadaka ya kinywaji juu yake, pia akamimina mafuta juu yake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 35:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akatwaa jiwe akalisimamisha kama nguzo.


Yakobo akasimamisha nguzo juu ya kaburi lake, ndiyo nguzo ya kaburi la Raheli hata leo.


Basi hao mashujaa watatu wakapenya jeshi la Wafilisti, wakateka maji kutoka kile kisima cha Bethlehemu, kilichokuwa karibu na lango, wakayachukua, wakamletea Daudi; lakini yeye hakukubali kuyanywa, akayamimina mbele za BWANA.


Musa akajenga madhabahu, akaiita jina lake Yahweh-nisi;


Ndipo Samweli akatwaa jiwe, na kulisimamisha kati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake Ebenezeri, akisema, Hata sasa BWANA ametusaidia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo