Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 35:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Mungu akakwea juu kutoka kwake mahali hapo aliposema naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, baada ya kuongea na Yakobo, Mungu akamwacha na kupanda juu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, baada ya kuongea na Yakobo, Mungu akamwacha na kupanda juu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, baada ya kuongea na Yakobo, Mungu akamwacha na kupanda juu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kisha Mungu akapanda juu kutoka kwake mahali pale alipozungumza naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kisha Mungu akapanda juu kutoka kwake mahali pale alipozungumza naye.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 35:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.


Mungu alipomaliza kusema naye, akaondoka kwa Abrahamu.


Basi BWANA alipokwisha kuzungumza na Abrahamu, akaenda zake; Abrahamu naye akarudi mahali pake.


Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.


Kwa maana, ikawa, mara huo muali wa moto ulipopaa juu mbinguni kutoka pale madhabahuni, huyo malaika wa BWANA akapaa katika mwali wa moto wa madhabahu; nao Manoa na mkewe wakaangalia; wakaanguka kifudifudi.


Ndipo malaika wa BWANA akanyosha ncha ya fimbo ile iliyokuwa mkononi mwake, akaigusa ile nyama na ile mikate; moto ukatoka mwambani, ukaiteketeza ile nyama na mikate; malaika wa BWANA akaondoka mbele ya macho yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo