Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 34:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Akatoka Hamori, babaye Shekemu, kumwendea Yakobo, aseme naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Hamori, baba yake Shekemu, akaenda kwa Yakobo ili azungumze naye,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Hamori, baba yake Shekemu, akaenda kwa Yakobo ili azungumze naye,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Hamori, baba yake Shekemu, akaenda kwa Yakobo ili azungumze naye,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kisha Hamori baba yake Shekemu akaenda kuzungumza na Yakobo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kisha Hamori baba yake Shekemu akaenda kuzungumza na Yakobo.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 34:6
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yakobo akasikia ya kwamba amembikiri Dina, binti yake. Na wanawe walikuwako pamoja na wanyama wake nyikani. Yakobo akanyamaza, hadi walipokuja.


Wanawe Yakobo waliposikia hayo, wakaja kutoka malishoni; nao wakasikitika sana, wakakasirika mno, kwa sababu amefanya upumbavu katika Israeli kwa kulala na binti Yakobo, jambo lisilostahili kutendeka.


Naye Gaali mwana wa Ebedi akasema, Abimeleki ni nani, na sisi wa Shekemu ni nani, hata tukamtumikie yeye? Je, huyu mwana wa Yerubaali na Zebuli afisa wake hawakuwatumikia watu wa Hamori babaye Shekemu? Basi, kwa nini tumutumikie?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo