Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 34:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Nao wakasema, Je! Ni vema amtendee dada yetu kama kahaba?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Hao ndugu wawili wakajibu, “Ana haki gani ya kumtendea dada yetu kama malaya?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Hao ndugu wawili wakajibu, “Ana haki gani ya kumtendea dada yetu kama malaya?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Hao ndugu wawili wakajibu, “Ana haki gani ya kumtendea dada yetu kama malaya?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”

Tazama sura Nakili




Mwanzo 34:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Yakobo wakawajibu Shekemu na Hamori babaye, kwa hila, maana amemharibu Dina, dada yao,


Wana wa Yakobo wakawajia hao waliouawa, wakaupora mji kwa sababu wamemharibu dada yao.


Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, Mmenitaabisha, kunifanya ninuke vibaya kati ya watu wa nchi hii, Wakanaani na Waperizi; na mimi, kwa kuwa watu wangu ni haba, watanikusanyikia, na kunipiga, nami nitaangamizwa, mimi na nyumba yangu.


Mungu akamwambia Yakobo, Ondoka, panda uende Betheli, ukakae huko; ukamfanyie Mungu madhabahu huko; yeye aliyekutokea ulipomkimbia Esau, ndugu yako.


Ghadhabu yao na ilaaniwe, maana ilikuwa kali, Na hasira yao, maana ilikuwa haina huruma. Nitawagawa katika Yakobo, Nitawatawanya katika Israeli.


Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo