Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 34:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Wakachukua kondoo wao, na ng'ombe wao, na punda wao, na vitu vilivyokuwamo mjini, na vile vilivyokuwako kondeni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Walichukua kondoo na mbuzi, ng'ombe, punda na chochote kilichokuwa mjini au shambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Walichukua kondoo na mbuzi, ng'ombe, punda na chochote kilichokuwa mjini au shambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Walichukua kondoo na mbuzi, ng'ombe, punda na chochote kilichokuwa mjini au shambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Wakateka kondoo na mbuzi, ng’ombe, punda, na kila kitu kilichokuwa ndani ya mji ule na mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Wakachukua kondoo na mbuzi, ng’ombe, punda na kila kitu kilichokuwa chao ndani ya mji ule na mashambani.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 34:28
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Yakobo wakawajia hao waliouawa, wakaupora mji kwa sababu wamemharibu dada yao.


Wakatwaa na mali yao zote, watoto wao wote, na wake zao wakateka na hata wakapora vyote vilivyokuwemo nyumbani.


Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu?


Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mwanamume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mwanamume kwa kulala pamoja naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo