Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 33:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Akajenga huko madhabahu, akaiita, El-elohe-Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Huko, akajenga madhabahu na kupaita Mungu ni Mungu wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Huko, akajenga madhabahu na kupaita Mungu ni Mungu wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Huko, akajenga madhabahu na kupaita Mungu ni Mungu wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Akajenga madhabahu pale na kupaita El-Elohe-Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Pale akajenga madhabahu na kupaita El-Elohe-Israeli.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 33:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abramu akahamisha hema yake, akaja na kukaa karibu na mialoni ya Mamre, nayo ni miti iliyoko Hebroni, akamjengea BWANA madhabahu huko.


Abrahamu akapanda mkwaju huko Beer-sheba, akaliitia huko jina la BWANA Mungu wa milele.


Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.


Akainunua sehemu ya nchi, alipopiga hema yake, kwa mkono wa wana wa Hamori, baba wa Shekemu, kwa vipande mia moja vya fedha.


Basi Dina, binti Lea, ambaye Lea alimzalia Yakobo, akatoka kuwaona binti za nchi.


Akajenga huko madhabahu, akapaita mahali pale, El-Betheli; kwa sababu huko Mungu alimtokea, hapo alipomkimbia ndugu yake.


Nuhu akamjengea BWANA madhabahu; akatwaa katika kila mnyama aliye safi, na katika kila ndege aliye safi, akavitoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.


Kwa hiyo Daudi akamhimidi BWANA, mbele ya mkutano wote; naye Daudi akasema, Uhimidiwe, Ee BWANA, Mungu wa Israeli baba yetu, milele na milele.


Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo