Mwanzo 31:54 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC54 Yakobo akachinja sadaka katika mlima, akawaita ndugu zake waje wale chakula, nao wakala chakula, wakakaa usiku kucha mlimani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema54 Kisha akatoa tambiko huko mlimani na kuwaalika ndugu zake wale chakula. Baada ya kula, wakabaki huko usiku kucha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND54 Kisha akatoa tambiko huko mlimani na kuwaalika ndugu zake wale chakula. Baada ya kula, wakabaki huko usiku kucha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza54 Kisha akatoa tambiko huko mlimani na kuwaalika ndugu zake wale chakula. Baada ya kula, wakabaki huko usiku kucha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu54 Yakobo akatoa dhabihu huko nchi ya vilima na akawaalika jamaa zake kula chakula. Baada ya kula, wakalala huko. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu54 Yakobo akatoa dhabihu juu ya kilima na akawaalika jamaa zake kula chakula. Baada ya kula, wakalala huko. Tazama sura |