Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 31:47 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

47 Labani aliiita Yegarsahadutha, lakini Yakobo aliiita Galedi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 Labani akaliita rundo hilo Yegar-sahadutha, lakini Yakobo akaliita Galeedi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 Labani akaliita rundo hilo Yegar-sahadutha, lakini Yakobo akaliita Galeedi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 Labani akaliita rundo hilo Yegar-sahadutha, lakini Yakobo akaliita Galeedi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 Labani akaliita Yegar-Sahadutha na Yakobo akaliita Galeedi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 Labani akaliita Yegar-Sahadutha na Yakobo akaliita Galeedi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 31:47
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akawaambia ndugu zake, Kusanyeni mawe. Wakatwaa mawe, wakafanya chungu, nao wakala huko karibu na ile chungu.


kisha wakaja Gileadi, na nchi ya Wahiti huko Kadeshi; kisha wakaja Dani, na kutoka Dani wakazunguka mpaka Sidoni,


Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa subira katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,


Basi hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, wakaiita madhabahu hiyo Edi; wakasema, Kwa kuwa ni ushahidi kati yetu ya kwamba yeye BWANA ndiye Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo