Mwanzo 31:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC36 Yakobo akakasirika, akagombana na Labani. Yakobo akajibu, akamwambia Labani, Ni nini hatia yangu? Nayo ni nini dhambi yangu, hata ukanifuatia namna hii? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Ndipo Yakobo akakasirika, akamshutumu Labani akisema, “Kosa langu ni nini? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Ndipo Yakobo akakasirika, akamshutumu Labani akisema, “Kosa langu ni nini? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Ndipo Yakobo akakasirika, akamshutumu Labani akisema, “Kosa langu ni nini? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Yakobo akakasirika na kumshutumu Labani, akisema, “Uhalifu wangu ni nini?” Akamuuliza Labani, “Ni dhambi gani niliyofanya hata unaniwinda? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Yakobo akakasirika na kumshutumu Labani, akisema, “Uhalifu wangu ni nini?” Akamuuliza Labani, “Ni dhambi gani niliyofanya hata unaniwinda? Tazama sura |