Mwanzo 31:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Yakobo akajibu, akamwambia Labani, Kwa sababu niliogopa, nikasema, Usije ukaninyang'anya binti zako kwa nguvu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Yakobo akamjibu, “Niliogopa kwa sababu nilidhani ungelininyanganya binti zako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Yakobo akamjibu, “Niliogopa kwa sababu nilidhani ungelininyanganya binti zako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Yakobo akamjibu, “Niliogopa kwa sababu nilidhani ungelininyang'anya binti zako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Yakobo akamjibu Labani, “Niliogopa, kwa sababu nilifikiri ungeweza kuninyang’anya binti zako kwa nguvu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Yakobo akamjibu Labani, “Niliogopa, kwa sababu nilifikiri ungeweza kuninyang’anya binti zako kwa nguvu. Tazama sura |