Mwanzo 31:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Labani akamwambia Yakobo, Umefanya nini? Umenihadaa, ukawachukua binti zangu kama mateka waliotwaliwa kwa upanga. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Mbona umenidanganya, ukawachukua binti zangu kama mateka vitani? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Mbona umenidanganya, ukawachukua binti zangu kama mateka vitani? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Mbona umenidanganya, ukawachukua binti zangu kama mateka vitani? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Umenidanganya na umewachukua binti zangu kama mateka katika vita. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Umenidanganya na umewachukua binti zangu kama mateka katika vita. Tazama sura |