Mwanzo 31:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 akatwaa ndugu zake pamoja naye, akamfuata mwendo wa siku saba. Akampata katika mlima wa Gileadi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Basi, Labani akawachukua ndugu zake, akamfuata Yakobo kwa muda wa siku saba, akamkuta milimani, nchini Gileadi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Basi, Labani akawachukua ndugu zake, akamfuata Yakobo kwa muda wa siku saba, akamkuta milimani, nchini Gileadi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Basi, Labani akawachukua ndugu zake, akamfuata Yakobo kwa muda wa siku saba, akamkuta milimani, nchini Gileadi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Akiwachukua jamaa zake, akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkuta kwenye nchi ya vilima ya Gileadi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Akiwachukua jamaa zake, akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkuta kwenye nchi ya vilima katika Gileadi. Tazama sura |