Mwanzo 31:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Basi akakimbia yeye na yote aliyokuwa nayo; akaondoka akauvuka mto, na kuelekea kwenye nchi ya milima ya Gileadi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Basi, Yakobo akachukua mali yake yote, akatoroka. Baada ya kuvuka mto Eufrate, alielekea Gileadi, nchi ya milima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Basi, Yakobo akachukua mali yake yote, akatoroka. Baada ya kuvuka mto Eufrate, alielekea Gileadi, nchi ya milima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Basi, Yakobo akachukua mali yake yote, akatoroka. Baada ya kuvuka mto Eufrate, alielekea Gileadi, nchi ya milima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Hivyo akakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo na kuvuka Mto, akaelekea nchi ya vilima ya Gileadi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Hivyo akakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo na kuvuka Mto Frati akaelekea nchi ya vilima katika Gileadi. Tazama sura |