Mwanzo 31:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Yakobo akamhadaa Labani, Mshami, kwa kuwa hakumwambia ya kwamba anakimbia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia. Tazama sura |