Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 31:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Yakobo akaona uso wa Labani, ya kuwa hakumtazama vema kama hapo awali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Yakobo alijua pia kuwa Labani hakumjali yeye kama hapo awali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Yakobo alijua pia kuwa Labani hakumjali yeye kama hapo awali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Yakobo alijua pia kuwa Labani hakumjali yeye kama hapo awali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Yakobo akatambua kwamba moyo wa Labani kwake umebadilika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Yakobo akatambua kwamba moyo wa Labani kwake haukuwa kama ulivyokuwa mwanzo.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 31:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Labani akamwambia, Iwapo nimeona fadhili machoni pako, kaa, maana nimetambua ya kwamba BWANA amenibariki kwa ajili yako.


Basi Yakobo akasikia maneno ya wana wa Labani, wakisema, Yakobo amechukua mali yote ya baba yetu; na kwa mali ya baba yetu amepata fahari hii yote.


BWANA akamwambia Yakobo, Urudi katika nchi ya baba zako na kwa jamaa zako, nami nitakuwa pamoja nawe.


Naona uso wa baba yenu, kwamba hanitazami vema kama hapo awali. Lakini Mungu wa baba yangu amekuwa pamoja nami.


bali Kaini hakumtakabali, wala sadaka yake. Kaini akaghadhibika sana, uso wake ukakunjamana.


Musa akamwambia BWANA Ee Bwana, mimi si msemaji, tokea zamani, wala tokea hapo uliposema na mtumishi wako; maana mimi si mwepesi wa kusema, na ulimi wangu ni mzito.


Ndipo Nebukadneza akajaa ghadhabu, na sura ya uso wake ikabadilika juu ya Shadraka, na Meshaki, na Abednego, basi akatoa amri watie moto ile tanuri mara saba kuliko desturi yake ya kutiwa moto.


Na hii ndiyo hukumu ya mwenye kuua mtu, atakayekimbilia huko awe hai; atakayemwua mwenziwe pasipo kukusudia, wala hakumchukia tangu hapo;


Mtu mume kati yenu aliye mwororo na laini sana, jicho lake litakuwa ovu juu ya nduguye, na juu ya mke wa kifuani mwake, na juu ya masalio ya wanawe waliosalia naye;


Basi Yonathani akamwita Daudi, naye Yonathani akamjulisha mambo hayo yote. Kisha Yonathani akamleta Daudi kwa Sauli, naye alikuwa akihudumu mbele yake, kama hapo awali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo