Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 31:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Ndipo Yakobo akaondoka, akapandisha wanawe na wakeze juu ya ngamia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, Yakobo akajitayarisha kusafiri, akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, Yakobo akajitayarisha kusafiri, akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, Yakobo akajitayarisha kusafiri, akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Ndipo Yakobo akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Ndipo Yakobo akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 31:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha huyo mtumishi akatwaa ngamia kumi katika ngamia za bwana wake akaenda zake, maana mali zote za bwana wake zilikuwa mkononi mwake, akaondoka, akaja mpaka Mesopotamia, mpaka mji wa Nahori.


Rebeka akaondoka na vijakazi wake, nao wakapanda juu ya ngamia, wakamfuata yule mtu. Naye huyo mtumishi akamchukua Rebeka akaenda zake.


Maana mali yote ambayo Mungu amemnyang'anya baba yetu, mali hiyo ndiyo yetu na ya wana wetu. Basi, yoyote Mungu aliyokuambia, uyafanye.


Akachukua wanyama wake wote, na mali yake yote aliyokuwa amepata, na wanyama aliowapata katika Padan-aramu, ili afike kwa Isaka babaye katika nchi ya Kanaani.


Naye Daudi akawapiga tangu ukungu wa jioni hadi jioni ya siku ya pili; hakuna aliyeokoka, ila vijana mia nne waliopanda ngamia na kukimbia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo