Mwanzo 31:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Raheli na Lea wakajibu, wakamwambia, Je, Imebakia sehemu au urithi kwa ajili yetu katika nyumba ya baba yetu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Raheli na Lea wakamjibu Yakobo, “Sisi hatuna tena sehemu au urithi wowote katika nyumba ya baba yetu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Raheli na Lea wakamjibu Yakobo, “Sisi hatuna tena sehemu au urithi wowote katika nyumba ya baba yetu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Raheli na Lea wakamjibu Yakobo, “Sisi hatuna tena sehemu au urithi wowote katika nyumba ya baba yetu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Ndipo Raheli na Lea wakajibu, “Je bado tunalo fungu lolote katika urithi wa nyumba ya baba yetu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Ndipo Raheli na Lea wakajibu, “Je bado tu tunalo fungu lolote katika urithi wa nyumba ya baba yetu? Tazama sura |