Mwanzo 31:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Na malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, Yakobo! Nikasema, Mimi hapa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Malaika wa Mungu akaongea nami katika ndoto hiyo, akaniita, ‘Yakobo,’ nami nikaitika, ‘Naam!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Malaika wa Mungu akaongea nami katika ndoto hiyo, akaniita, ‘Yakobo,’ nami nikaitika, ‘Naam!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Malaika wa Mungu akaongea nami katika ndoto hiyo, akaniita, ‘Yakobo,’ nami nikaitika, ‘Naam!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Malaika wa Mungu akaniita katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’ Tazama sura |