Mwanzo 30:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC43 Kwa hiyo mtu huyo akazidi mno, akawa na wanyama wengi, na vijakazi, na watumwa, na ngamia, na punda. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Basi, Yakobo akatajirika sana, akawa na makundi makubwa ya wanyama, watumishi wa kike na wa kiume, ngamia na punda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Basi, Yakobo akatajirika sana, akawa na makundi makubwa ya wanyama, watumishi wa kike na wa kiume, ngamia na punda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Basi, Yakobo akatajirika sana, akawa na makundi makubwa ya wanyama, watumishi wa kike na wa kiume, ngamia na punda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Hivyo Yakobo akastawi sana, tena akawa na makundi makubwa, mjakazi na watumishi, na ngamia na punda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Kwa njia hii Yakobo akastawi sana, tena akawa na makundi makubwa, watumishi wa kike na wa kiume na ngamia na punda. Tazama sura |