Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 30:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Lea akasema, Bahati njema! Akamwita jina lake Gadi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lea akasema, “Bahati njema.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Gadi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lea akasema, “Bahati njema.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Gadi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lea akasema, “Bahati njema.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Gadi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ndipo Lea akasema, “Hii ni bahati nzuri aje!” Kwa hiyo akamwita jina Gadi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ndipo Lea akasema, “Hii ni bahati nzuri aje!” Kwa hiyo akamwita Gadi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 30:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana.


Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.


Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Na wana wa Gadi; Sefoni, na Hagi, na Shuni, na Esboni, na Eri, na Arodi, na Areli.


Gadi, jeshi litamsonga, Lakini atawasonga wao mpaka visigino.


Bali ninyi mmwachao BWANA, na kuusahau mlima wangu mtakatifu, na kuandaa meza kwa ajili ya Bahati, na kuijazia Ajali vyombo vya divai iliyochanganyika;


Katika wana wa Gadi, kwa kufuata vizazi vyao, jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo