Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 29:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Na alipokuwa akisema nao, Raheli akaja na kondoo wa baba yake, maana aliwachunga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Yakobo alipokuwa bado anazungumza na hao wachungaji, Raheli akafika na kondoo wa baba yake, kwani ndiye aliyekuwa akiwachunga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Yakobo alipokuwa bado anazungumza na hao wachungaji, Raheli akafika na kondoo wa baba yake, kwani ndiye aliyekuwa akiwachunga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Yakobo alipokuwa bado anazungumza na hao wachungaji, Raheli akafika na kondoo wa baba yake, kwani ndiye aliyekuwa akiwachunga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 29:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, kabla hajaisha kunena, tazama, Rebeka anatokea, binti wa Bethueli mwana wa Milka, mkewe Nahori, ndugu wa Abrahamu, naye ana mtungi begani pake.


Ikawa Yakobo alipomwona Raheli binti Labani, ndugu wa mamaye, na kondoo wa Labani, ndugu wa mamaye, Yakobo akakaribia, na kulibingirisha lile jiwe litoke katika kinywa cha kisima, akawanywesha kondoo wa Labani, ndugu wa mamaye.


Wakasema, Hatuwezi, Mpaka makundi yote yakusanyike, watu wakabingirishe jiwe katika kinywa cha kisima, ndipo tunapowanywesha kondoo.


Musa akawa radhi kukaa kwake mtu yule, naye akampa Musa binti yake, Sipora.


Walipokuwa wakikwea mjini, wakakutana na wasichana, waliokuwa wakienda kuteka maji; wakawaambia, Je! Mwonaji yuko?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo