Mwanzo 29:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Na alipokuwa akisema nao, Raheli akaja na kondoo wa baba yake, maana aliwachunga. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Yakobo alipokuwa bado anazungumza na hao wachungaji, Raheli akafika na kondoo wa baba yake, kwani ndiye aliyekuwa akiwachunga. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Yakobo alipokuwa bado anazungumza na hao wachungaji, Raheli akafika na kondoo wa baba yake, kwani ndiye aliyekuwa akiwachunga. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Yakobo alipokuwa bado anazungumza na hao wachungaji, Raheli akafika na kondoo wa baba yake, kwani ndiye aliyekuwa akiwachunga. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo. Tazama sura |