Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 29:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Labani akampa binti yake Raheli mjakazi wake Bilha, awe mjakazi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 (Labani akamtoa Bilha, mjakazi wake, awe mtumishi wa Raheli).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 (Labani akamtoa Bilha, mjakazi wake, awe mtumishi wa Raheli).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 (Labani akamtoa Bilha, mjakazi wake, awe mtumishi wa Raheli).

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Labani akamtoa Bilha mjakazi wake kwa Raheli ili kuwa mtumishi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Labani akamtoa Bilha mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwa mtumishi wake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 29:29
8 Marejeleo ya Msalaba  

Labani akampa Lea mjakazi wake Zilpa, awe mjakazi wake.


Yakobo akafanya hivi, akatimiza siku zake saba. Naye Labani akampa Raheli, binti yake, kuwa mkewe.


Ndipo Yakobo akaingia kwa Raheli, akampenda Raheli kuliko Lea, akatumika kwa ajili yake miaka saba mingine.


Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Wana wa Bilha, kijakazi wa Raheli, ni Dani na Naftali.


Hivi ndivyo vizazi vya Yakobo. Yusufu, aliyekuwa mwenye miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo pamoja na ndugu zake; naye alikuwa kijana pamoja na wana wa Bilha, na wana wa Zilpa, wake wa baba yake. Yusufu akamletea baba yao habari zao mbaya.


Hao ndio wana wa Bilha, ambaye Labani alimpa Raheli, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao; wote walikuwa watu saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo