Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 29:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Sikukutumikia kwa Raheli? Mbona umenidanganya? Labani akasema, Havitendeki hivi kwetu, kumtoa mdogo kabla ya mkubwa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Labani akamjibu, “Nchini mwetu hatufanyi hivyo; si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya mkubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Labani akamjibu, “Nchini mwetu hatufanyi hivyo; si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya mkubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Labani akamjibu, “Nchini mwetu hatufanyi hivyo; si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya mkubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 29:26
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda?


timiza siku zake saba, nasi tutakupa huyu naye kwa utumishi utakaonitumikia, miaka saba mingine.


Yusufu akamwambia babaye, Sivyo, babangu, maana huyu ni mzaliwa wa kwanza; weka mkono wako wa kulia kichwani pake.


Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo