Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mwanzo 29:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Labani akampa Lea mjakazi wake Zilpa, awe mjakazi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 (Labani akamtoa Zilpa, mjakazi wake, awe mtumishi wa Lea.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 (Labani akamtoa Zilpa, mjakazi wake, awe mtumishi wa Lea.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 (Labani akamtoa Zilpa, mjakazi wake, awe mtumishi wa Lea.)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Naye Labani akamtoa Zilpa mjakazi wake kuwa mtumishi wa Lea, binti yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Naye Labani akamtoa Zilpa, mtumishi wake wa kike, kuwa mtumishi wa Lea, binti yake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 29:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Sarai mkewe Abramu hakumzalia mwana, naye alikuwa na mjakazi, Mmisri, jina lake Hajiri.


Ndipo wakampeleka Rebeka dada yao, na yaya wake, na mtumishi wa Abrahamu, na watu wake.


Ikawa wakati wa jioni akamtwaa Lea, binti yake, akamletea Yakobo, naye akaingia kwake.


Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda?


Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Hao ndio wana wa Zilpa, ambaye Labani alimpa Lea, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao, watu kumi na sita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo