Mwanzo 29:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Labani akamwambia, Ndiwe kweli mfupa wangu na nyama yangu. Naye akakaa kwake muda wa mwezi mmoja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Naye Labani akasema, “Hakika, wewe ni jamaa yangu, damu moja nami!” Yakobo akakaa naye kwa muda wa mwezi mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Naye Labani akasema, “Hakika, wewe ni jamaa yangu, damu moja nami!” Yakobo akakaa naye kwa muda wa mwezi mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Naye Labani akasema, “Hakika, wewe ni jamaa yangu, damu moja nami!” Yakobo akakaa naye kwa muda wa mwezi mmoja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Ndipo Labani akamwambia, “Wewe ni mwili wangu na damu yangu mwenyewe.” Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi mzima, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Ndipo Labani akamwambia, “Wewe ni nyama yangu na damu yangu mwenyewe.” Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi mzima, Tazama sura |